Accueil > Termes > Swahili (SW) > kutoka

kutoka

Mungu kuingilia kati kuokoa katika historia ambapo yeye aliwaweka huru Wahebrania kutoka utumwa katika Misri, akafanya agano nao, na kuwaingiza katika nchi ya ahadi. Kitabu cha Kutoka, cha pili katika Agano la Kale, kinasimulia historia hii ya kuokoa (62). Kutoka huadhimishwa na Wayahudi wakati wa Pasaka, ambayo kwa Wakristo ni kielelezo cha "Pasaka" kwake Yesu Kristo katika kifo na maisha na ni sherehe katika kumbukumbu la Ekaristi (1363).

0
  • Partie du discours : nom
  • Synonyme(s) :
  • Blossaire :
  • Secteur d’activité/Domaine : Religion
  • Catégorie : Eglise catholique
  • Company:
  • Produit :
  • Acronyme-Abréviation :
Ajouter à Mon Glossaire

Commentaires

Vous devez ouvrir une session pour poster dans des discussions.

Les termes dans Actualités

Termes en vedette

Jonah Ondieki
  • 0

    Termes

  • 0

    Blossaires

  • 1

    Abonnés

Secteur d’activité/Domaine : Education Catégorie : Enseignement

zao la kusoma

Ni tokeo la mchakato wa kusoma; yaaani kile mtu/mwanafuzi amesoma.