Accueil > Termes > Swahili (SW) > lugha geni

lugha geni

lugha geni ni lugha ya nje isiyopatikana katika nchi fulani. pia ni lugha isiyozungumzwa katika nchi asili ya mtu anayerejelewa, hivi kwamba mtu anayezungumza kizungu na anaishi ujapani anaweza sema kuwa kijapani ni lugha geni kwake. ingawaje sifa hizi mbili hazitoi maelezo kamili, hata hivyo, kubandikwa huku saa zingine hutumika kwa njia zinazopotosha usahihi wa maana.

0
  • Partie du discours : nom
  • Synonyme(s) : bilingual_₀
  • Blossaire :
  • Secteur d’activité/Domaine : Langue
  • Catégorie : Dictionnaires
  • Company:
  • Produit :
  • Acronyme-Abréviation :
Ajouter à Mon Glossaire

Commentaires

Vous devez ouvrir une session pour poster dans des discussions.

Les termes dans Actualités

Termes en vedette

ogongo3
  • 0

    Termes

  • 0

    Blossaires

  • 3

    Abonnés

Secteur d’activité/Domaine : Les gens Catégorie : Musiciens

Perry Band (almasi, Watu, wanamuziki)

Perry Band ni kundi la muziki nchini, linaloundwa na ndugu zake watatu: Kimberly Perry (gitaa, pianist), Reid Perry (bass gitaa), na Neil Perry ...